SHIMMUTA inatoa pongezi kwa mjumbe aliyechaguliwa katika Kamati Tendaji ya Shirikisho.

Ushiriki wake katika uongozi unatarajiwa kuongeza nguvu katika kusimamia mipango, mashindano na maendeleo ya michezo ya wafanyakazi nchini.

Chanzo: Instagram @shimmuta_tz
https://www.instagram.com/shimmuta_tz/p/DXENttpjGmZ/