SHIMMUTA inampongeza Laizer kwa kuchaguliwa kuwa Mjumbe wa Kamati Tendaji ya Shirikisho.

Tunamtakia kazi njema katika kutekeleza majukumu yake na kuchangia katika kuimarisha uongozi, ushirikiano na maendeleo ya SHIMMUTA.

Chanzo: Instagram @shimmuta_tz
https://www.instagram.com/shimmuta_tz/p/DXENrudDN-Z/