SHIMMUTA inawatakia viongozi wapya utekelezaji mwema wa majukumu yao.

Shirikisho linaamini kuwa weledi, bidii na umakini katika uongozi vitachangia mafanikio endelevu na kuimarisha huduma kwa wanachama.

Chanzo: Instagram @shimmuta_tz
https://www.instagram.com/shimmuta_tz/p/DXC6D6tjEyv/