← Rudi kwa Habari Zote
SHIMMUTA inawapongeza viongozi wapya na kuwaombea utekelezaji mwema wa majukumu yao.
Tunatarajia uongozi wenye weledi, umakini na dhamira ya kusukuma mbele maendeleo ya Shirikisho kwa manufaa ya wanachama wote.
Chanzo: Instagram @shimmuta_tz
https://www.instagram.com/shimmuta_tz/p/DXC5AivDMmL/
Endelea Kusoma